Skip to main content

NAMNA YA KUJIINGIZIA KIPATO KWA KUTUMIA SIMU (Tengeneza pesa kwa kutumia simu yako ya mkononi)

Karibu Tena katika blog yetu ya DUDUU_MENDEZ COMMUNITY. 


Leo tutaenda kuangalia njia mbalimbali ambazo zitakusaidia kujiingizia kipato kupitia simu yako ya mkononi

Kuna watu ambao hukaa ndani kwa masaa kadhaa na kujiingizia kiasi flani.
Kwasasa dunia imekua sana katika suala la teknolojia na mitandao 

Leo nitakuonyesha njia mbalimbali ambazo unaweza kuzitumia ukajiingizia kipato kwa kutumia simu yako ya mkononi


NJIA ZA KUJIINGIZIA KIPATO KWA KUTUMIA SIMU YAKO 


1.TIKTOK




Kwasasa tiktok imeweza kuwalipa wengi, kuna watu ambao wanaendesha maisha yao kwa kutumia tiktok,  watu hao ndo wale unao waona wanaitwa content creators

Content creators sasa hivi wamekuwa wengi katika kila kona ya dunia watu wengi wejiingizia kipato kupitia hio kazi yao

Ili uweze kulipwa na tiktok itakubidi uwe umefungua international account na umewasha baadhi ya settings

KAMA UNAHITAJI TIKTOK ACCOUNT YA INTERNATIONAL GUSA HAPA 👉TIKTOK 👈


Nimefanya utafiti wangu nimeona watu wengi wapo tiktok na account kubwa lakini sio international account 😔🥺🥺

Unakuta mtu ana likes kama 50k na followers 2k ila account yake ni ya kawaida






2.ONLINE SURVEY 



Hii platform ambayo itakuhitaji kukusanya data za kuwasaidia katika utafiti wao (survey). 


Kuna platform mbalimbali za online survey na ambazo zinalipa vizuri kwa kila survey kuanzia 2$ hadi 10$ na kwa mwezi unaweza kupata nafasi ya kufanya survey kama 5-10, 
Hii ni kutokana na profile yako uliyoweka ndo itapelekea kupokea invitation nyingi za survey.

Kwa hapa TANZANIA platform nyingi za survey hazitoi invitation nyingi kama nchi nyingine 

List ya platform za online survey 





3.TRANSLATION AND CAPTION 


Hizi ni platform ambazo zinakuhitaji ufanye utafsiri katika video na pia utoe caption zake hapo chini kwenye video.

Katika hizi platform kuna watu ambao huwa wanahitaji wafanyiwe translation ya video zao za interview. Hii ipo kila sehemu hapa duniani (worldwide)

Mfano wa platform hizo ni kama hizi





04.MDUNDO.COM


Watu wengi wameweza kujipatia ela kupitia mdundo kwani inalipa vizuri sana na kwa wakati sahihi, na kujiunga haitaji gharama zozote

Namna ya kujiunga
  • Fungua website yao mdundo.com 
  • Shuka mpaka chini chagua sehemu iliyoandiwaa register as an artist 
  • Jisajili kwa kutumia email yako
  • Anza kupost ngoma mbalimbali 
  • Share link yako kwa watu ili ujipatie downloads wengi
  • Anza kutengeneza pesa
Kipindi cha mwaka huu nimeweza kujiingizia kiasi cha 100,000/= ndani ya mwezi mmoja 
Niliweza kupost wimbo wa lavalava kibango na ngoma ya Diamond ya mapozi, Ngoma hizi zimenifanya nimeweza kushika rank ya mtu wa pili katika rank za mdundo ndani ya mwezi June na Julai




5.SOCIALPOP ONLINE


 
Huu ni mtandao wa kijamii kama unavyoona Facebook au instagram 
Mtandao huu umetengenezwa na watanzania hapa hapa kwahiyo bado ni mpya

Unaweza ukawa mgeni kusikia huu mtandao na unajiuliza unaweza vipi kupata ela kupitia mtandao huu 

Katika huu mtandao kwenye kila post unayopost na kila comment unayotoa na likes utakuwa unapata point na hizo point unaweza kuzibadilisha na zikawa Ela ya kawaida 

Haitaji mambo mengi hii kitu
Download app yao kupitia SOCIALPOP APP

Follow me on socialpop Duduu_mendez




HIZO NI BAADHI YA SEHEMU AMBAZO UNAWEZA KULIPWA PESA NA HAZIHITAJI KUWA NA UJUZI WOWOTE WA ZIADA NEXT POST TUTAENDELEA NA SEHEMU NYINGINE AMBAZO ZINAHITAJI UJUZI WA ZIADA KIDOGO 






Prepared by WADUDUU BRAND
Written by DUDUU_MENDEZ 

Follow us on

DUDUU_MENDEZ V4. | © 2024



Comments

  1. Du kumbe watu tunakufa na njaa kumbe nyie mnajipigia pesa kama wapumbafu😁

    ReplyDelete

Post a Comment

Popular posts from this blog

How to Hide and Charge Ngrok, Cloudflare Link in Termux & Linux

The MaskingURL tool is used to hide any links or URLs behind the original link. This tool is a free and open-source tool that you can download from GitHub. This tool can perform social engineering attacks on victims. and hide all types of URL links like ngrok links. MaskingURL is a very useful tool and easy to use. This tool is written in bash. This tool is a bash script. The tool gives you the flexibility to use it as per requirement. This tool is a light tool means small. You can add your own URL after the original URL of the link. This tool was developed by JayKali, a group of ethical hackers. Maskphish is available as a console script. The user interface of this tool is very similar to Metasploitable 1 and Metasploitable 2, which makes it easy to use. People are smart enough these days. They will not fall into the phishlng trap. Because the link doesn’t look like the original website. For example, a phishlng link might be like https://ngrok.io/xxabcd , but it will open a page like ...

⚪DARASA LA KWANZA KATIKA ETHICAL HACKING 👨‍💻

🍀 HACKING NI NINI? Najua Neno hacking sio geni kwa watu wengi maana umeweza kusikia kuwa watu wengi wa wamekuwa wa hanga katika hacking . 🍀 MAANA :- Ni Kitendo Cha Kuingilia Mfumo wa Kompyuta . 🍀 HACKER NI NANI?👨‍💻 Ni mtu ambae mwenye ujuzi wa kutumia kompyuta na kuweza kuingilia mfumo wa kompyuta. 🍀 AINA ZA HACKERS 👨‍💻 Kuna Aina Nyingi za Hackers zaidi Ya Tano leo tutaongelea Baadhi. 1.WHITE HACKERS👨‍💻 Ni Aina Ya Hackers wenye uwezo wa kuingilia mfumo wa kompyuta na kudukua taarifa fulani katika mfumo huu ila wanakuwa na Ruhusa. 2. BLACK HACKERS👨‍💻 Ni Aina Ya Hackers wenye uwezo wa kuingilia mfumo wa kompyuta na kudukua taarifa fulani katika mfumo huu ila wanakuwa na Bila Ya Kupewa Ruhusa. 3.GREY HACKERS👨‍💻 Ni Aina Ya Hackers wenye uwezo wa kuingilia mfumo wa kompyuta na kudukua taarifa fulani katika mfumo huu ila wanakuwa na Ruhusa Au wasiwe na Ruhusa (vigeugeu) . 4.SCRIPT KIDDIES👨‍💻 Hawa Tunaweza Kusema Sio Hackers ama Hackers ambao hawana ujuzi kuhusu networking ...